Enhancements in the Employment Portal System
MUHIMU KUZINGATIA AJIRA PORTAL
UPDATE F4 INDEX NUMBER YAKO:
Ingia kwenye Ajira Portal na hakikisha umeupdate Form 4 index number yako. Bila kufanya hivi, hutaweza kutuma maombi tena. Hakuna tena ku-upload vyeti, taarifa zinachukuliwa moja kwa moja kutoka NECTA.
JINSI YA KUJAZA TAARIFA ZA CHUO:
Hakikisha unajaza elimu yako kwa usahihi:
- Certificate → Jaza Certificate
- Diploma → Jaza Diploma/FTC
- Degree → Jaza Degree
NB: Sehemu ya Education Level huwezi kubadili baada ya kujaza, hivyo kuwa makini. Sehemu nyingine bado unaweza ku-edit.
MABORESHO MAPYA YA MFUMO:
- Hakuna tena sehemu ya “OTHERS” kama chuo hakipo.
- Hakuna “GENERAL CATEGORY”.
- Unatafuta program moja kwa moja kwa jina.
MAELEZO YA ZIADA:
- Awali, kama chuo hakikuwepo, ulikuwa unaandika manual. Sasa hivi hiyo option imeondolewa.
- Kama chuo chako hakipo, chagua chochote kisha badili baadaye.
- Programu sasa hazionekani kupitia category kama zamani, unatakiwa kutafuta jina la program moja kwa moja.
HAKUNA ULAZIMA WA KU-UPDATE NIDA
Usi Update namba ya NIDA kama mfumo haujakulazimisha. Hasa kama hukumbuki vizuri taarifa zako kama:
- Majina ya mama
- Makazi ya kudumu (Kijiji-Kata-Wilaya)
- Mahali ulipojiandikisha NIDA (Kijiji-Kata-Wilaya)
- Namba ya simu uliyotumia
- Shule ya msingi na wilaya ilipo
- Mwaka wa kuhitimu
Hii itakuepusha na usumbufu usio wa lazima.
Office of the President
Secretariat of Employment in the Public Service
Dodoma
15th August, 2025
1. Filling in Secondary Education Information
Following the enhancements made to the Ajira Portal system, job applicants who have already registered their details on the Ajira Portal are required to update their secondary education information by entering their Form Four National Examination Index Number in the "Academic Qualifications" section. For those who completed Form Six, they must also enter their Form Six National Examination Index Number in their Ajira Portal account under the Form Six information section.
These changes are mandatory, as applicants will not be able to proceed with job applications until their Form Four and Form Six education details are updated.
Additionally, due to these improvements, applicants will no longer need to upload copies of their Form Four and Six certificates on the Ajira Portal. Instead, they will only need to provide their Form Four and Six Index Numbers. The system will automatically retrieve their academic information from the database managed by the Tanzania Examinations Council (BARAZA LA MITIHANI TANZANIA).
For applicants who studied Form Four and Six outside Tanzania, they will also be affected by these changes. They must use the equivalence number issued by the Tanzania Examinations Council to update their details.
2. Filling in Course Information Studied by Applicants
This section has been improved based on feedback from stakeholders. Previously, users were required to first select a category before choosing their course. Now, users can directly search for their course without needing to select a category.
3. New Look of the Ajira Portal System
Technological advancements have also enhanced the visual appearance of our system, making it more user-friendly, especially for those using mobile devices.
Note:
- These enhancements apply only to the Ajira Portal system.
- Shortlisted candidates who are called for interviews must bring their original certificates, starting from Form Four onwards.
Lynn Chawala
Head of Government Communications Unit
Key Highlights:
- Mandatory update of Form Four and Six Index Numbers in the Ajira Portal.
- No need to upload certificates—only Index Numbers are required.
- International applicants must use the equivalence number from the Tanzania Examinations Council.
- Simplified course search—no need to select a category first.
- Improved mobile-friendly interface for better user experience.
- Original certificates must be presented during interviews.